Usajili wa wachezaji kwa timu za Ligi kuu wasuasua
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limevitaka vilabu vinavyoshiriki Ligi kuu Tanzania bara kufanya usajili kwa wakati kabla ya Julai 31 mwaka huu ambapo zoezi hilo litafungwa.
Msemaji wa Shirikisho hilo Clifford Ndimbo amesema,kumekuwa na muitikio mdogo wa usajili wa wachezaji wa vilabu vinavyoshiriki Ligi kuu ya Tanzania bara kwa kutumia mfumo wa TFF FIFA Connect.
Msemaji wa Shirikisho hilo Clifford Ndimbo amesema,kumekuwa na muitikio mdogo wa usajili wa wachezaji wa vilabu vinavyoshiriki Ligi kuu ya Tanzania bara kwa kutumia mfumo wa TFF FIFA Connect.
TFF YATOA TAMKO KWA VILABU VYA LIGI KUU TANZANIA BARA.....
Reviewed by Siabi World
on
July 12, 2019
Rating:
Reviewed by Siabi World
on
July 12, 2019
Rating:



No comments: