Post hii ni maalum kwa ajili ya kukutanisha na picha za Mastaa wa Tanzania na wa nje ya Tanzania wakiwa na Wazazi wao au wakiwa na Watoto wao.
Mr. Blue na Baba yake
Msanii Mr. Blue na Watoto wake
Young Killer na Mama yake
Roma Mkatoliki na familia yake
JaRule na Mtoto wake
Trey Songs na Mwanae
Fid Q
Mwanamitindo Flaviana Matata na Baba yake
Mchezaji wa Simba Ibrahim Ajibu Migomba na Familia yake
Mwigizaji Lulu na Baba yake
Mbunge wa zamani wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari na Mwanae.
Mwigizaji Mkongwe Rambo na Mtoto wake
Mwimbaji Mkongwe wa Congo D.R.C Koffi Olomide na Mtoto wake
Mtangazaji wa CLOUDS Gardner G. Habash na Mtoto wake Mwimbaji Karen
Msanii Hussein Machozi na Mtoto wake
Rapper Rosa Ree na Wazazi wake
AY na mwanae Aviel
Juma Nature na Mwanae
MwanaFA
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Watoto wake
No comments: